Global ETD Search

Search theses and dissertations gathered from participating repositories worldwide. Every result links back to the library that holds it. No account is needed.

Results

Showing 1 to 20 of 563 for “"WA)"”.

  1. Kuchunguza Sifa za Kifani za Utendi wa Kiswahili: Mfano Utendi wa Fumo Liyongo

    … kuchunguza sifa za kifani za Utendi au Utenzi wa Kiswahili. Utafiti huu ulichunguza vipengele vya fani kama vile; muundo, mtindo, wahusika, mandhari na matumizi ya lugha katika Utendi wa Kiswahili. Mfano, Utendi wa Fumo Liyongo, ili, kuona ni jinsi gani sifa za kifani zinavyojidhihirisha katika …

    ou-tanzania Repository record for Kuchunguza Sifa za Kifani za Utendi wa Kiswahili: Mfano Utendi wa Fumo Liyongo (opens in a new tab)

  2. Etimolojia ya Majina ya Mahali ya Kaskazini Pemba Kuwa Utambulisho wa Utamaduni wa Wapemba

    … ya majina ya mahali ya Kaskazini Pemba kuwa utambulisho wa utamaduni wa Wapemba. Mtafiti aliongozwa na malengo matatu. Kwanza, kubainisha etimolojia ya majina ya mahali yanayopatikana Kaskazini Pemba; pili, kufafanua vigezo vinavyotumika kutoa majina ya mahali ya Kaskazini Pemba; na tatu, …

    ou-tanzania Repository record for Etimolojia ya Majina ya Mahali ya Kaskazini Pemba Kuwa Utambulisho wa Utamaduni wa Wapemba (opens in a new tab)

  3. Usawiri wa Mwanamke Kama Kiongozi Katika Tamthiliya: Uchunguzi wa Kivuli Kinaishi na Nguzo Mama

    Kazi hii ilichunguza dhima ya usawiri wa mwanamke kama kiongozi katika tamthiliya: Uchunguzi wa Kivuli kinaishi na Nguzo mama. Lengo la jumla ya utafiti huu ilikuwa kutafiti na kubainisha usawiri wa mwanamke kama kiongozi na kuonesha suala la uongozi linavyoibua visa na linavyojenga dhamira katika …

    ou-tanzania Repository record for Usawiri wa Mwanamke Kama Kiongozi Katika Tamthiliya: Uchunguzi wa Kivuli Kinaishi na Nguzo Mama (opens in a new tab)

  4. Usawiri Wa Mwanamke Kama Kiongozi Katika Tamthiliya: Uchunguzi Wa Kivuli Kinaishi Na Nguzo Mama

    Ndugu msomaji wangu, waswahili wanamsemo wao kuwa “chanda chema huvishwa pete” na mimi kutoka moyoni mwangu naitabaruku kazi hii kwa wazazi wangu, kwanza Baba yangu mpendwa, Cleopa Elinisafi Mapunjo Mpembeni na Mama yangu Kalolina Kitungutu waliopenda sana kunihimiza nisome kwa bidii. Kwani maisha …

    ou-tanzania Repository record for Usawiri Wa Mwanamke Kama Kiongozi Katika Tamthiliya: Uchunguzi Wa Kivuli Kinaishi Na Nguzo Mama (opens in a new tab)

  5. Usawiri wa Ujinsia Katika Filamu: Uchunguzi wa Matumzi ya Lugha Katika Filamu za Steven Kanumba

    Utafiti huu unahusu usawiri wa ujinsia katika filamu uchunguzi wa matumizi ya lugha katika filamu za Steven Kanumba. Lengo kuu la utafiti huu ni kuchunguza usawiri wa kijinsia katika lugha ya filamu za Steven Kanumba ili kuona ni jinsi gani lugha inatumika kusawiri masuala ya kijinsia katika jamii. …

    ou-tanzania Repository record for Usawiri wa Ujinsia Katika Filamu: Uchunguzi wa Matumzi ya Lugha Katika Filamu za Steven Kanumba (opens in a new tab)

  6. Usawiri wa Mama wa Kambo Ndani ya Ngano za Kiswahili za Zanzibar katika Kipengele cha Malezi

    … ya Zanzibar bali katika sehemu nyingi duniani, kuwa Mama wa Kambo ni wakatili, waovu, watesaji na hata wauaji wa watoto wanaowalea. Ni dhana hiyo ndiyo iliyotushawishi kutafuta ukweli. Jee!, katika uhalisia ni kweli Mama wa Kambo ni waovu kama walivyo katika ngano? Ili kupata ukweli huo, …

    ou-tanzania Repository record for Usawiri wa Mama wa Kambo Ndani ya Ngano za Kiswahili za Zanzibar katika Kipengele cha Malezi (opens in a new tab)

  7. Ushujaa wa Shujaa wa Motifu za Safari na Msako Katika Ngano za Waikizu, Wabondei na Wazanzibari

    Lengo kuu la utafiti huu, lilikuwa ni kubainisha nduni bainifu za Ushujaa wa Shujaa wa Motifu za Safari na Msako katika ngano za Waikizu. Utafiti huu umefanywa Ikizu. Njia zilizotumika katika utafiti huu zilikuwa ni utafiti wa Maktabani na uwandani. Nadharia zilizotumika katika utafiti huu ni; …

    ou-tanzania Repository record for Ushujaa wa Shujaa wa Motifu za Safari na Msako Katika Ngano za Waikizu, Wabondei na Wazanzibari (opens in a new tab)

  8. Ujidhihirishaji wa Mofu Nafsi na Njeo Katika Kiswahili: Utafiti Linganishi wa Lahaja ya Kipemba na Kiswahili Sanifu

    Kazi hii ilihusika na Ujidhihirishaji wa Mofu zinazowakilisha Nafsi na Njeo Katika Kiswahili: Utafiti linganishi wa lahaja ya Kipemba na Kiswahili sanifu. Utafiti huu ulikuwa na malengo mawili ambayo ni kulinganisha ujidhihirishaji wa mofu nafsi na njeo baina ya Kiswahili sanifu na Kipemba pamoja …

    ou-tanzania Repository record for Ujidhihirishaji wa Mofu Nafsi na Njeo Katika Kiswahili: Utafiti Linganishi wa Lahaja ya Kipemba na Kiswahili Sanifu (opens in a new tab)

  9. Changamoto na mbinu za kiisimu katika ufundishaji wa stadi ya mazungumzo kwa wanafunzi wa elimu ya awali

    Lengo la kazi hii ilikuwa ni kuchunguza uhusiano uliopo baina ya ufundishaji wa stadi ya mazungumzo kwa wanafunzi wa shule za elimu ya awali kisiwani Pemba na kukwama kwao kupata maarifa ya stadi hiyo vya kutosha. Utafiti huu umefanywa katika wilaya ya Chake Chake, mkoa wa Kusini, Pemba. Washiriki …

    ou-tanzania Repository record for Changamoto na mbinu za kiisimu katika ufundishaji wa stadi ya mazungumzo kwa wanafunzi wa elimu ya awali (opens in a new tab)

  10. Evaluating Floodplain Hydrologic Connectivity, Yakima River, WA

    … of these projects. The purpose of this research was to collect baseline data to determine if and how floodplain connectivity affects water quality and quantity in side-channel habitat on the Yakima River. This research compared seasonal differences in habitat quality between connected and …

    central-wash Repository record for Evaluating Floodplain Hydrologic Connectivity, Yakima River, WA (opens in a new tab)

  11. Ngugi wa Thiongo and third world postcolonialism

    This study investigates the ambivalent traits of third world postcolonialism. Third world postcolonialism appears as an antithesis against the logical fallacy of the binary oppositions performed by the contemporary first world postcolonial theory and practice. The division between the first and the …

    cape-town Repository record for Ngugi wa Thiongo and third world postcolonialism (opens in a new tab)

  12. Tathmini ya mwingilianomatini katika utunzi wa Emmanuel Mbogo: Utafiti Linganishi wa Tamthiliya ya Ngoma ya Ng’wanamalundi na Fumo Liongo

    … Tathmini ya mwingilianomatini katika utunzi wa Emmanuel Mbogo: Utafiti linganishi wa tamthiliya ya Ngoma ya Ng’wanamalundi na Fumo Liongo. Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa ni kufanya tathmini ya mwingilianomatini katika utunzi wa Emmanuel Mbogo, kwa kulinganisha tamthiliya ya Ngoma ya …

    ou-tanzania Repository record for Tathmini ya mwingilianomatini katika utunzi wa Emmanuel Mbogo: Utafiti Linganishi wa Tamthiliya ya Ngoma ya Ng’wanamalundi na Fumo Liongo (opens in a new tab)

  13. Homebirth in WA: Why women make this choice

    Background: Homebirths in Western Australia (WA) account for approximately 0.8% of all births. Two consecutive reports from the Perinatal and Infant Mortality Monitoring Committee found increased rates of perinatal mortality in homebirths and recommended a prospective cohort study to assess …

    edithcowan Repository record for Homebirth in WA: Why women make this choice (opens in a new tab)

  14. Uchambuzi wa Viangama Tamati Katika Lahaja ya Kitumbatu

    Utafiti huu umefanyika Unguja katika kisiwa cha Tumbatu, kwenye shehia nne ambazo ni Gomani, Uvivini, Mtakuja na Jongowe. Lengo kuu ni kuchambua viangama tamati katika lahaja ya kitumbatu. Utafiti huu umeongozwa na nadharia ya viangama ya Zwicky (1977). Data zimekusanywa kwa njia ya mahojiano na …

    ou-tanzania Repository record for Uchambuzi wa Viangama Tamati Katika Lahaja ya Kitumbatu (opens in a new tab)

  15. Muundo wa Kirai Nomino katika lahaja ya Kimakunduchi

    Utafiti huu umechunguza muundo wa kirai nomino katika lahaja ya Kimakunduchi. Malengo ya utafiti yalikuwa ni kubainisha vipengele vya muundo wa kirai nomino katika lahaja ya Kimakunduchi; kuelezea utaratibu au mpangilio wa vipengele vya muundo wa kirai nomino na lengo la tatu; ni kujadili dhima za …

    ou-tanzania Repository record for Muundo wa Kirai Nomino katika lahaja ya Kimakunduchi (opens in a new tab)

  16. Muundo wa Kirai Nomino katika lahaja ya Kimakunduchi

    Utafiti huu umechunguza muundo wa kirai nomino katika lahaja ya Kimakunduchi.Malengo ya utafiti yalikuwa ni kubainisha vipengele vya muundo wa kirai nomino katika lahaja ya Kimakunduchi; kuelezea utaratibu au mpangilio wa vipengele vya muundo wa kirai nomino na lengo la tatu; ni kujadili dhima za …

    ou-tanzania Repository record for Muundo wa Kirai Nomino katika lahaja ya Kimakunduchi (opens in a new tab)

  17. Uchambuzi wa Viangama Katika Kiswahili cha Mazungumzo Unguja

    Utafiti huu unaohusu uchambuzi wa viangama katika Kiswahili cha mazungumzo lengo lake kuu ni kuchambua viangama katika Kiswahili cha mazungumzo Unguja. Utafiti huu umeongozwa na nadharia ya viangama ya Zwicky (1977) amechambua viangama sahili, viangama maalumu na viangama funge. Utafiti umetumia …

    ou-tanzania Repository record for Uchambuzi wa Viangama Katika Kiswahili cha Mazungumzo Unguja (opens in a new tab)

Page 1 of 29