Back to results

The Open University of Tanzania

Usawiri Wa Mwanamke Kama Kiongozi Katika Tamthiliya: Uchunguzi Wa Kivuli Kinaishi Na Nguzo Mama

Abstract

dc:description.abstract

Ndugu msomaji wangu, waswahili wanamsemo wao kuwa “chanda chema huvishwa pete” na mimi kutoka moyoni mwangu naitabaruku kazi hii kwa wazazi wangu, kwanza Baba yangu mpendwa, Cleopa Elinisafi Mapunjo Mpembeni na Mama yangu Kalolina Kitungutu waliopenda sana kunihimiza nisome kwa bidii. Kwani maisha ni magumu na bila elimu utanyanyaswa. Alipenda kusema “unamsomea nani au unamwandikia nani”, kwa ufupi tu na kwa ujasiri nilijibu kuwa; nawaandikia wote ili waelimike. Pili, Mama yangu mpendwa Dkt Rose Cleopa Mapunjo Mpembeni kwa ushauri wake wa mara kwa mara kuhusu umuhimu wa elimu. Nawapenda wote na Mungu awabariki.

Degree

thesis:*
Level dc:type.qualificationlevel
masters
Grantor dc:publisher.institution
The Open University of Tanzania
Year dc:date.issued
2014

Author and committee

dc:creator, dc:contributor.*
Author dc:creator
  • Mapunjo, G. C.

Subjects

dc:subject × 1

Rights

Language dc:language
en

Chain of custody

source
Harvested from
Open University of Tanzania
Base URL
repository.out.ac.tz/cgi/oai2
Last updated
2026-07-24
Source record
OAI-PMH GetRecord
citation

Mapunjo, G. C.. Usawiri Wa Mwanamke Kama Kiongozi Katika Tamthiliya: Uchunguzi Wa Kivuli Kinaishi Na Nguzo Mama. masters thesis, The Open University of Tanzania, 2014.