Back to results

The Open University of Tanzania

Maana za Majina ya Watu katika Jamii ya Wayao

Abstract

dc:description.abstract

Utafiti huu ulilenga kuchunguza majina ya watu katika jamii ya Wayao ili kuona iwapo yana maana. Kulikuwa na haja ya kufanyika utafiti huu ili kutoa mchango wa kitaaluma katika semantiki kuhusu maana za majina ya watu katika jamii hii. Utafiti huu uliongozwa na nadharia ya semiotiki ili kuweza kutimiza malengo ya utafiti huu na pia kujibu maswali ya utafiti huu. Data za utafiti huu zilikusanywa kwa kutumia njia ya usaili, hojaji[dodoso] na maktabani. Eneo la utafiti lilikuwa wilaya ya Tunduru nchini Tanzania katika vijiji vya Kidodoma,Nampungu na Nandembo.Walengwa wa utafiti huu walikuwa Wayao wote wanaojua maana za majina ya watu yenye asili ya Kiyao.Jumla ya watafitiwa 30 walishiriki katika utafiti huu. Matokeo ya utafiti huu yamedhihirisha kuwa majina ya watu katika jamii ya Wayao yana maana.Ni dhahiri kuwa utafiti huu utatoa mchango mkubwa katika taaluma ya Semantiki na katika tafiti za lugha za kibantu,na kuwa kichocheo cha kufanywa tafiti nyingine kuhusiana na mada hii na kuhusiana na jamii hii.

Degree

thesis:*
Level dc:type.qualificationlevel
masters
Grantor dc:publisher.institution
The Open University of Tanzania
Year dc:date.issued
2016

Author and committee

dc:creator, dc:contributor.*
Author dc:creator
  • Anusa, Anaphy Chiumbo

Subjects

dc:subject × 1

Rights

Language dc:language
en

Chain of custody

source
Harvested from
Open University of Tanzania
Base URL
repository.out.ac.tz/cgi/oai2
Last updated
2026-07-24
Source record
OAI-PMH GetRecord
citation

Anusa, Anaphy Chiumbo. Maana za Majina ya Watu katika Jamii ya Wayao. masters thesis, The Open University of Tanzania, 2016.