Back to search

The Open University of Tanzania

Lugha ya Kiswahili katika Kufundishia na Kujifunzia Elimu Shule za Sekondari

Abstract

dc:description.abstract

Azma ya utafiti huu, ilikuwa ni kuchunguza matumizi ya lugha ya Kiswahili katika kufundishia na kujifunzia Elimu shuleni na Vyuoni. Utafiti huu umefanywa Wilayani Mvomero.Taasisi tatu zilishirikishwa. Shule za Msingi, Shule za Sekondari, Vyuo vya elimu. Masomo mawili Kiswahili na Kiingereza yalichunguzwa. Njia zilizotumika katika utafiti huu zilikuwa ni utafiti wa Maktabani, ana kwa ana na Masikanini .Matokeo ya Utafiti huu yamebaini kwamba; Kiswahili ni Lugha inayoeleweka vizuri zaidi katika kufundishia na kujifunzia elimu shuleni kuliko lugha ya kiingereza. Watoto wengi hawaelewi lugha ya Kiingereza pale inapotumiwa kama lugha ya kufundishia na kuwafanya watoto wasiweze kupata elimu ambayo wangeipata shuleni kwa ajili ya kuliendeleza Taifa.

Degree

thesis:*
Level dc:type.qualificationlevel
masters
Grantor dc:publisher.institution
The Open University of Tanzania
Year dc:date.issued
2013

Author and committee

dc:creator, dc:contributor.*
Author dc:creator
  • Yoradi, Sikombe Yizukanji

Subjects

dc:subject × 1

Rights

Language dc:language
en

Chain of custody

source
Harvested from
Open University of Tanzania
Base URL
repository.out.ac.tz/cgi/oai2
Last updated
2026-07-24
Source record
OAI-PMH GetRecord
citation

Yoradi, Sikombe Yizukanji. Lugha ya Kiswahili katika Kufundishia na Kujifunzia Elimu Shule za Sekondari. masters thesis, The Open University of Tanzania, 2013.