Back to search

The Open University Of Tanzania

Itikadi katika Tamthiliya za Emmanuel Mbogo: Utafiti Linganishi wa Ngoma ya Ng’wanamalundi na Fumo Liongo

Abstract

dc:description.abstract

Kazi hii ilihusika na mada inayohusiana na Kuchunguza mbinu za kitanzia za Ki-Aristotle katika Tamthiliya za Fumo Liongo na Sundiata. Malengo mahususi ya utafiti huu yalikuwa ni kuchambua matumizi ya mbinu za tanzia za Kiaristotle katika tamthiliya ya Fumo Liongo na Sundiata, kuelezea matumizi ya mbinu ambazo si za tanzia za Ki-Aristotle katika tamthiliya teule na kuchambua dhamira katika tamthiliya za Fumo Liongo na Sundiata. Data za utafiti zimekusanywa kwa kutumia mbinu ya usomaji makini na kuchambuliwa kwa kutumia mkabala wa kimaelezo na nadharia ya tanzia ya Ki-Aristotle. Matokeo ya utafiti yanaonesha kuwa, mbinu za Ki-Aristotle zinazojitokeza katika tamthiliya teule ni msuko, wahusika, dhamira, fikra, utumiaji wa jukwaa na mtungo wa tamthiliya. Mbinu zisizo za Ki-Aristotle ni utendi, usimuliaji, diolojia, monolojia, majigambo na kuchanganya ushairi na nathari. Kwa upande wa dhamira zilizojitokeza katika tamthiliya teule ni uongozi kandamizi, rushwa katika jamii, usaliti, matabaka, nafasi ya mwanamke na ushirikina katika jamii.

Degree

thesis:*
Level dc:type.qualificationlevel
masters
Grantor dc:publisher.institution
The Open University Of Tanzania
Year dc:date.issued
2015

Author and committee

dc:creator, dc:contributor.*
Author dc:creator
  • Mhangilwa, Salome Clemence

Subjects

dc:subject × 1

Rights

Language dc:language
en

Chain of custody

source
Harvested from
Open University of Tanzania
Base URL
repository.out.ac.tz/cgi/oai2
Last updated
2026-07-24
Source record
OAI-PMH GetRecord
citation

Mhangilwa, Salome Clemence. Itikadi katika Tamthiliya za Emmanuel Mbogo: Utafiti Linganishi wa Ngoma ya Ng’wanamalundi na Fumo Liongo. masters thesis, The Open University Of Tanzania, 2015.